We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, August 1, 2019

Rasmi: Okwi atambulishwa Al-Ittihad Misri

Aliyekuwa mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi amesajiliwa na klabu ya Al-Ittihad Alexandria inayoshiriki ligi kuu ya Misri
Okwi ametambulishwa na timu hiyo leo baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili
Mshambuliaji huyo wa Kimataifa wa Uganda ametua nchini Misri baada ya dili lake la kuelekea Arabuni kukwama
Okwi alikuwa na mchango mkubwa kwa klabu ya Simba nyakati zote alizocheza

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list