We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, August 19, 2019

Rasmi: Couthinho atambulishwa Bayern Munich

Club ya FC Barcelona ya Hispania leo imetangaza rasmi kumuachia staa wake wa kimataifa wa Brazil Philippe Coutinho kwenda kujiunga na club ya FC Bayern ya Ujerumani kwa mkataba wa mkopo wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kununuliwa jumla mwisho wa msimu wa 2019/20.
Coutinho amejiunga kwa mkopo na FC Bayern watatakiwa kuilipa FC Barcelona euro milioni 8.5 ambazo ni zaidi ya Tsh Bilioni 21 na endapo watamtaka jumla mwakani basi watalazimika kulipa kiasi cha euro milioni 120 ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 306.
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Philippe Coutinho alijiunga na FC Barcelona 2018 akitokea Liverpool ya England aliyokuwa amedumu nayo kwa miaka mitano (2013-2018), Coutinho mwenye umri wa miaka 28 kwa sasa hana nafasi kubwa ya kucheza katika club ya FC Barcelona.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list