We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, August 2, 2019

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amewapokea tausi wa nne kutoka kwa Rais wa Tanzania John Magufuli (+ Picha)

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amepokea tausi wa nne (4) kutoka Tanzania.
Tausi hawa wanawasili Kenya kutokana na ahadi aliyopewa Kenyatta na Dkt John Pombe Magufuli, alipozuru Chato, Tanzania kwa ziara ya kibinafsi.

Balozi wa Tanzania nchini Kenya Dkt Pindi Hazara Chana na balozi wa Kenya nchini Tanzania Dan Kazungu walikuwa katika ikulu ya Nairobi leo kumkabidhi tausi hao. “Hii ni ishara ya undugu na urafiki baina ya wakazi wa afrika mashariki. Inaleta heshima kubwa si tu kati ya Ma Rais bali kwa vizazi vya sasa na vijavyo” Uhuru Kenyatta Rais wa Kenya.

Chanzo BBC

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list