We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, August 3, 2019

Picha: Mazoezi ya mwisho kuelekea kilele wiki ya Mwananchi

Kikosi cha Yanga jioni ya leo kimekamilisha maandalizi ya mchezo dhidi ya Kariobang Sharks kwa kujifua kwenye uwanja wa Uhuru
Mchezo huo utapigwa kesho Jumapili, August 04 kwenye kilele cha wiki ya Mwananchi ambayo maadhimisho yake yalianza tangu Julai 28
Mazoezi ya jioni yalimjumuisha mshambuliaji mpya David Molinga




No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list