We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, August 2, 2019

Muonekano wa wachezaji katika uzi mpya wa Yanga

Klabu ya Yanga leo imezindua jezi kwa ajili ya msimu wa 2019/20
Jezi hizo zitatumika kwenye ligi kuu, ligi ya mabingwa, kombe la FA na mashindano mengine ambayo Yanga itashiriki msimu ujao
Mapokezi ni mazuri kutoka kwa mashabiki, kilichobaki ni kwa shabiki wa Yanga kwenda kununua jezi halisi kutoka maduka ya GSM
GSM inatarajiwa kusambaza jezi hizo nchini nzima kupitia kwa Mawakala wake ambao watatangazwa baadae
Kwa sasa unaweza kujipatia jezi kwenye maduka ya GSM jijini Dar es saam na Makao Makuu ya klabu ya Yanga




No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list