We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, August 4, 2019

Mashabiki wa yanga wanamiminika kwa Mkapa

Leo ni siku muhimu kwa wapenzi, mashabiki na Wanachama wa klabu ya Yanga ambapo wiki ya Mwananchi inahitimishwa uwanja wa Taifa
Kudhirisha umuhimu wa siku hii, tayari idadi kubwa ya mashabiki wamefurika uwanja wa Taifa
Njiani msululu wa mashabiki wanaoelekea uwanjani ni mkubwa pia
Mageti ya uwanja yatafungwa saa nane mchana, hivyo kwa wanaelekea uwanjani ni muhimu kuwahi ili kuwa sehemu ya historia inayokwenda kuandikwa leo

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list