We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, August 4, 2019

Liverpool wafungua pazia la Ligi Kuu England kwa kipigo

Klabu ya Liverpool imeshindwa kufurukuta mbele ya mabingwa watetezi wa EPL, Man City kwa kukubali kichapo cha goli 5-4 kwenye mchezo wa ngao ya jamii.
Man City walionekana kutawala mchezo huo kipindi cha kwanza na walifanikiwa kupata goli, Kabla ya Liverpool kusawazisha goli hilo kipindi cha pili.
Penati ya Liverpool imekoswa na GeorginioWijnaldum, Na ndio imewanyima ubingwa wa taji la Ngao ya jamii  nchini England msimu wa 2019/20 .

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list