We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, August 3, 2019

Juuko atua Wydad Casablanca

Aliyekuwa mlinzi wa kati wa Simba Juuko Murushid ameelekea Morocco kujiunga na Wydad Casablanca
Juuko anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo iliyocheza fainali ya ligi ya mabingwa msimu uliomalizika
Hivi karibuni Mtendaji Mkuu wa Simba Crescentius Magori alisema Juuko alikuwa bado ana mkataba wa mwaka mmoja na mabingwa hao wa Tanzania Bara
Hata hivyo Simba ilisitisha kumlipa mshahara baada ya kuondoka kambini kabla ya ligi kumalizika msimu uliopita
Juuko ni miongoni mwa wachezaji walioisaidia Uganda kutinga hatua ya mtoano michuano ya Afcon 2019 iliyomalizika mwezi uliopita nchini Misri

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list