We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, August 19, 2019

Hawa hapa Nyota 21 wa Yanga walioifuata Township Rollers

Jumamosi ijayo, August 24 Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi nchin Botswana kwenye mchezo wa marudiano ligi ya mabingwa dhidi ya Township Rollers
Msafara wa kikosi cha Yanga uliojumuisha wachezaji 21 wameondoka mapema leo kuelekea Afrika Kusini
Baadae Yanga itaunganisha kwenda Botswana ikitokea huko Afrika Kusini
Hiki hapa kikosi kilichosafiri;
1. Metacha Mnata
2. Paulo Godffrey
3. Kelvin Yondani
4. Muharami Issa
5. Ally Mtoni
6. Lamine Moro
7. Papy Tshishimbi
8. Mapinduzi Balama
9. Mohamed Issa
10. Ramadhani Kabwili
11. Sydney Khoetage
12. Rafael Daudi
13. Juma Balinya
14. Patrick Sibomana
15. Ally Ally
16. Jafari Mohamed
17.Feisal Salum
19. Issa Brigimana
20. Deusi Kaseke
21. Mrisho Ngasa
Mlinda lango Farouk Shikalo, Mustafa Suleyman na David Molinga ni miongoni mwa wachezaji waliobaki baada ya kukosekana kwa leseni zao

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list