We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, July 3, 2019

Zana atua kuongeza mkataba Simba

Beki wa kulia wa Simba Zana Coulibaly amerejea nchini kuongeza mkataba kunako klabu ya Simba
Inaelezwa beki huyo raia wa Burkina Faso atasaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuwatumikia mabingwa wa nchi
Kumekuwa na maoni tofauti miongoni mwa wadau wa klabu ya Simba kuhusu kuongezwa mkataba kwa beki huyo
Hata hivyo kocha Mkuu wa Simba Patrick Aussems ameonyesha kuwa na imani nae
Mara nyingi amesisitiza kuwa Zana ni mchezaji mzuri, anachohitaji ni muda ili kuweza kudhihirisha ubora wake
Mchakato huo wa kumuongezea Zana mkataba ukikamilika, Simba itakuwa imebaki na nafasi moja ya mchezaji wa kigeni ambapo nafasi hiyo huenda ikachukuliwa na kiungo Francis Kahata hivyo kuachana rasmi na Emmanuel Okwi na Walter Bwalya

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list