We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, July 3, 2019

AFCON 2019: Timu 16 zilizotinga hatua ya 16 bora


Mara baada ya kumalizika hatua ya makundi ya michuano ya Soka Barani Afrika (AFCON) 2019, hizi ndio timu 16 zilizotinga hatua ya 16 bora kwa ajili ya mtoano.

Kundi A: Misri, Uganda na DR Congo.

Kundi B: Madagascar na Nigeria, Guinea.

Kundi C: Algeria na Senegal.

Kundi D: Morocco, Ivory Coast na Afrika Kusini.

Kundi E: Mali na Tunisia.

Kundi F: Ghana, Cameroon, Benin.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list