We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, July 28, 2019

Yanga kuongeza wachezaji wawili kabla ya Julai 31

Yanga huenda ikasajiliwa wachezaji wawili kabla ya dirisha la usajili wa ndani kufungwa Julai 31
Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga Dismas Ten ambaye ndiye msemaji wa klabu hiyo, amefichua mpango huo
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Ten ameandika;
"Usajili wa ndani unafungwa tarehe 31/July bado tuna nafasi mbili.....!Ndo tunarudi hivyo kusinya Tukutane Taifa tarehe 4, Mwaka huu wasipoweka mpira kwapani hehehe.."
Dirisha la usajili Tanzania linatarajiwa kufungwa Julai 31
Yanga inahusishwa kuwa kwenye mpango wa kumsajili beki Bakari Mwamnyeto kutoka Coastal Union
Mabeki Andrew Vicent Chikupe na Juma Abdul waligoma kuingia kambini mkoani Morogoro wakishinikiza walipwe madai ya fedha za usajili
Huenda mpango huo ukawahusu wachezaji hao

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list