We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 25, 2019

Waziri Mkuu atoa agizo kwa uongozi wa Mkoa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameutaka uongozi wa Mkoa wa Ruvuma kutangaza fursa za uwekezaji zilizopo mkoani humo pamoja na kuondoa vikwazo vyote, ili kuvutia wawekezaji zaidi.

Waziri Mkuu Majaliwa, ametoa kauli hiyo wakati akifungua Kongamano la Biashara na Uwekezaji mkoani Ruvuma, linaloendelea kwenye Uwanja wa Majimaji Songea.
"Mkoa wa Ruvuma kama ilivyo mikoa mingine, una fursa ambazo zikiendelezwa zitaleta tija na kusaidia kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi wa Taifa, nitoe rai kwa Mkoa uendelee kutangaza fursa za uwekezaji, pia muondoe vikwazo vya uwekezaji na biashara ili kuvutia wawekezaji" amesema Waziri Mkuu
"Tunapaswa kuiga kutoka wa wenzetu, Ndiyo maana Tanzania pia tunahamasisha ujenzi wa viwanda kuanzia ngazi ya Vijiji mpaka Mikoa na hatimaye kuondoa umaskini." amesema Waziri Mkuu
Kongamano hilo lina kauli mbiu kuwa 'Ruvuma itavuma kwa uchumi wa Viwanda, wekeza sasa' imelenga kutangaza fursa za uwekezaji na biashara zilizopo mkoani humu.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list