We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, July 12, 2019

Wadhamini wa Mbao FC waboresha mkataba

Wadhamini wakuu wa klabu ya Mbao FC kampuni ya GF Trucks & Equipment Limited imeweka wazi kuwa itaendelea kuidhamini timu baada ya kuzuka tetesi kuwa walitaka kujitoa.

GF Trucks na Mbao walisaini mkataba wa miaka mitatu ambapo sasa umebaki mwaka mmoja ambao wanaendelea nao huku ukiwa umeboreshwa lakini hawakuweza wazi maboresho hayo.
Mtendaji Mkuu wa GF Trucks, Imrani Karmali amesema bado wana imani na mahusiano mazuri na timu hiyo licha ya kukiri kuwa msimu uliopita haukuwa mzuri kwao.
Nae Mwenyekiti wa Mbao, Solly Njashi ameishukuru kampuni hiyo kwa kuendelea kuwaamini huku akiwahikishia kufanya maboresho kwenye kikosi ili kuongeza ushindani kwenye ligi.  

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list