We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 25, 2019

VIDEO: Mzee Shaweji Kaeleza Kwa Nini hawataki kutoa hati kwa MO Dewji

Pamoja na kuwa katika hatua za mwisho za kukamilisha mabadiliko ya uendeshaji wa club ya Simba SC kuanza kuendeshwa kwa hisa, wadhamini wa Simba SC wakiongozwa na mzee Hamisi Kilomoni wameendelea kuwa na msimamo wao wa kutotaka kutoa hati za Simba SC kwa muwekezaji wa club hiyo Mohammed Dewji.
Mzee Shaweji Machoyamzungu leo mbele ya waandishi wa habari ameeleza kuungana na mzee Kilomoni kupinga kutoa hati, Shaweji kaeleza na kufika mbali kuwa tatizo sio kuwa na mfumo wa mabadiliko lakini utaratibu unaotumika hakubaliani nao na anaamini ni wakijanjajanja tu.
“Sisi tulipata bahati mbaya naweza kusema hivyo baada ya pale huko nyuma tuliingia katika suala la mali sio mpira bahati nzuri tumekuwa na vijana wetu wa friends of Simba, hii ndio kansa ya Simba afadhali ungekuwa UKIMWI huyu mtu angekufa kwa muda mfupi lakini hii ndio kansa ya Simba SC, kansa hii imetengenezwa na kuandaliwa na Mh Kassim Dewji ameitengeneza vizuri na hivi sasa kila mahali Kassim humuoni”>>>Mzee Shaweji Machoyamzungu

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list