We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, July 8, 2019

TFDA yafuta Tozo 9, Yahamisha majukumu TBS


Katika kutekeleza adhma ya kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini iliyokuwa Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Tanzania (TFDA) ambayo kwa sasa inajulikana kama Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA), imefuta tozo 9 na kuhamisha majukumu ya udhibiti wa chakula na vipodozi kwenda TBS.

Pia Naibu waziri wa Afya Dkt. Faustine Ndugulile amesema TFDA sasa kusimamia dawa na vifaa tiba pekee, majukumu yake ya awali yamehamishiwa TBS.

“Kuanzia tarehe 1 Julai, 2019 Mamlaka ya Chakula na Dawa TFDA itajulikana kama kama Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA). Taasisi hii itasimamia masuala ya dawa na vifaa tiba pekee. Majukumu udhibiti ya chakula na vipodozi yatafanywa na TBS,” amesema Naibu waziri wa Afya Dkt. Faustine Ndugulile. 

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list