We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 4, 2019

TETESI: Mo Dewij kung’atuka Simba muda wowote kuanzia hivi sasa, sababu za kunga’atuka zatajwa

Mmoja ya wamiliki wa simba na C.E.O wa kampuni ya METL Mohamed Dewij amefunguka na kuonyesha nia yake na ya klabu ya Simba kwa ujumla, imeelezwa muda wowote kuanzia hivi sasa anaweza kuachana na klabu hiyo kama muwekezaji, taarifa za ndani zimeanza kuenea huku ikidaiwa kwamba hii ni kutokana na kukosekana kwa maelewano katika baadhi ya mambo na viongozi wa klabu hiyo yenye maskani yake mtaa wa msimbazi Kariakoo jijini Dar Es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list