We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, July 29, 2019

Taifa Stars kuanza na Burundi kombe la dunia

Shirikisho la soka duniani FIFA limetoa ratiba ya michezo ya hatua ya awali ya kusaka tiketi ya kushiriki fainali za kombe la dunia zikazofanyika mwaka 2022 nchini Qatar
Mchezo wa kwanza Tanzania itaanzia ugenini dhidi ya Burundi na baadae mchezo wa marudiano kupigwa jijini Dar es salaam
Michezo hiyo itapigwa kati ya Septemba 2-10 2019
Kama Tanzania itavuka hatua hiyo, itaingia kwenye makundi kuwania moja ya nafasi tano za Afrika kwenye michuano hiyo

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list