We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, July 28, 2019

Stars kulipa kisasi, kuvuna 10 mil kwa dakika 90?

Leo ndiyo siku ya Watanzania kulipa kisasi kwa Wakenya katika soka hasa baada ya kumbukumbu mbaya ya kichapo walichokipata katika michuano ya AFCON.

Safari hii ni katika kuwania kufuzu michuano ya CHAN inayohusisha wachezaji wa ndani, ambapo Taifa Stars itawakaribisha Harambee Stars leo jioni katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Kuelekea mchezo huo, klabu ya soka ya Simba imeahidi kutoa kiasi cha Shillingi milioni 10 kwa wachezaji na benchi la ufundi endapo wataibuka na ushindi katika mchezo huo.
Baada ya mchezo huo, Stars itasafiri hadi Nairobi kucheza mchezo wa marudiano na timu itakayoshinda hapo itakuwa na uwezekano mkubwa wa kuvaana  na Sudan.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list