We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, July 10, 2019

Simba SC waachana rasmi na Emmanuel Okwi


Inaelezwa kuwa ni rasmi Simba SC imeachana na mshambuliaji wake wa siku nyingi, Emmanuel Okwi na wekundu hao wamesema wanatarajia kushusha mrithi wake wakati wowote.

Mpaka sasa wachezaji waliopelekwa katika usajili wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ni 26 huku Mtendaji Mkuu Crescentius Magori akisema kazi imekwisha.

Magori alisema wamemaliza kazi kubwa na kilichobaki ni mchezaji mmoja ambaye ataziba nafasi ya Okwi na itakuwa ni ‘sapraizi’ kwa mashabiki wao.

Okwi ameamua kujiunga na Fujairah Football Club inayocheza ligi ya juu huko Uarabuni.

Hata hivyo, tayari Emmanuel Okwi ambaye amemaliza mkataba wake na klabu ya Simba, amevivutia vilabu mbalimbali vya Misri, Afrika Kusini, Saudi Arabia, Tunisia pamoja na klabu yake ya zamani Simba. 

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list