We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, July 29, 2019

Simba kujipima na Orlando Pirates Jumanne

Kikosi cha  Simba kiko Afrika Kusini kikiendelea na maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu ya Tanzani Bara pamoja na michuano ya ligi ya mabingwa na mingineyo
Kesho Jumanne, Julai 30 2019 Simba itamaliza mchezo wa mwisho wa kujipima huko Afrika Kusini kwa kuumana na mabingwa wa Curling Cup, Orlando Pirates
Juzi Pirates ilitwaa taji hilo kwa kuichapa Kaizer Chiefs mabao 2-0
Simba inatarajiwa kurejea nchini mwishoni mwa wiki hii tayari kwa tamasha la Simba Day litakalofanyika August 06 kwenye uwanja wa Taifa
Simba ilitua Afrika Kusini Julai 17 ambapo imecheza michezo mitatu ya kirafiki
Mabingwa hao wa nchi walianza kwa kuilaza Orbit Tvet mabao 4-0, wakaichapa Platinum Stars mabao 4-1 kabla ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Township Rollers juzi
Baada ya mchezo wa juzi, kocha Aussems alisema vijana wake wameiva

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list