We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, July 9, 2019

Rais Museven awapatia wachezaji wa Uganda dola milioni moja


Rais wa Uganda, Yoweri Museveni wa Uganda amewatunukia wachezaji wa timu ya Uganda Cranes dola milioni moja kwa kufuzu kwa raundi ya pili ya michuano ya AFCON 2019 inayoendelea huko Misri.

Museveni alikialika kikosi cha Cranes kikiongozwa na kipa Denis Onyango baada ya kocha wao Sebastien Desabre kujiuzulu na kujiunga na klabu ya Pyramids ya Misri.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list