We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, July 8, 2019

Pius Buswita kuibukia Kagera Sugar

Kiungo Pius Buswita ni miongoni mwa wachezaji ambao mikataba yao imemalizika Yanga na hawako kwenye mipango ya kocha Mwinyi Zahera
Kiungo huyo aliyetua Yanga kutoka Mbao Fc misimu miwili iliyopita, huenda akaibukia klabu ya Kagera Sugar ambayo tayari imewasajili wachezaji wa zamani wa Yanga Geofrey Mwashiuya na Yusufu Mhilu
Buswita alikosa nafasi ya kudumu kwenye kikosi cha Zahera na sasa anahitaji kupata changamoto mpya ili aimarishe kiwango chake

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list