We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 4, 2019

"Nitakuwa Mhubiri Injili wa Kimataifa" - RPC Shana

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shana ameeleza kazi anayotarajia kuifanya baada ya kustaafu kazi ya upolisi, ni kuwa anatamani kuwa mchungaji wa kuhubiri injili na si kuingia kwenye siasa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shana ameeleza kazi anayotarajia kuifanya baada ya kustaafu kazi ya upolisi, ni kuwa anatamani kuwa mchungaji wa kuhubiri injili na si kuingia kwenye siasa.
Kamanda Shana ametoa kauli hiyo ikiwa ni siku chache baada ya kudaiwa na baadhi ya watumiaji wa mitandano ya kijamii, kuwa amekuwa akijihusisha na masuala ya siasa wakati yeye akiwa afisa mkubwa wa Jeshi la Polisi.
Akizungumza kwenye mahojiano maalum #EATV/EARadioDigital Kamanda Shana amesema "mimi nikistaafu kazi pekee ninayotaka kuifanya si siasa bali kuwa mchungaji wa Injili tena nitakuwa Muhibiri wa Kimataifa, mimi nampenda Mungu, kwa hiyo nitahubiri upendo na umoja."
"Kuhusiana na kujutia juu ya kauli zangu ninazozitoa kuhusiana na Chama Cha Mapinduzi mimi siwezi kujutia, kwa sababu huwa naitwa kwa ajili ya kueleza nilichofanya kupitia ilani ya chama tawala" amesema Kamanda Shana.
Hivi karibuni akizungumzia akiwajibu baadhi ya watu mtandaoni ambao walihoji juu ya kuonekana kwenye mikutano ya CCM na kutumia baadhi ya kauli za CCM Kamanda Shana aliwataka watu hao wakaangilie Katiba ya CCM.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list