We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, July 8, 2019

MWINYI ZAHERA KUHUSU USAJILI WA YANGA "GADIEL NIMEAMBIWA ANASUMBUA"

Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera aliyepo katika benchi la ufundi la timu ya taifa ya Congo DR kama kocha msaidizi, ameongea na AyoTV baada ya timu yake kuondolewa katika fainali za AFCON 2019 dhidi ya Madagascar kwa kufungwa kwa penati 4-2, hiyo ni baada ya sare ya kufungana magoli 2-2.
Zahera ambaye baada ya kutolewa mashindanoni amekiri kuwa anaenda ulaya nyumbani kwake kupumzika kidogo huku akieleza kuwa amewapa mapumziko ya siku 10 wachezaji wake waliopo katika kikosi cha Taifa Stars kilichoshiriki AFCON 2019 na kutolewa, ameweka wazi kuwa licha ya kuwa ana majukumu ya timu ya taifa lakini ameeleza kuwa usajili unaofanyika ni pendekezo lake ila ameambiwa Gadiel Michael anasumbua kusaini.
“Wachezai wote wa Tanzania wale walicheza AFCON nimewapa mapumziko ya siku 10 na mie nilifanya Ligi Kuu mwaka mzima napaswa kwenda Ulaya wiki moja au siku nane kupumzika, wachezaji wote wanasaini ni mimi niliwachagua nilishauriana na viongozi, kuna mchezaji mmoja juzi walinipigia simu baada ya kuniambia kuwa Gadiel anasumbua kusaini”>>>Zahera

Bonyeza play hapa chini kutazama zaidi pia tembelea app hii kila Mara kusoma habari mpya

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list