We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, July 13, 2019

Matukio muhimu yatakayojiri wiki ya mwananchi

August 04 ndio kilele cha wiki ya Mwananchi ambayo itahitimishwa uwanja wa Taifa kwa mchezo wa kirafiki kati ya Yanga dhidi ya AS Vita Club kutoka DR Congo
Kabla ya tukio hilo kubwa, Wanafamilia wa Yanga watafanya shughuli mbalimbazli za kijamii katika maeneo wanayoishi

Shughuli zitakazofanyika kuanzia Julai 27 ni pamoja na kuzuru kaburi la hayati Mzee Karume, kupanda miti na kufanya usafi, kutembelea wagonjwa, kuchangia damu na kutembelea yatima
August 04 ndio hitimisho la matukio yote hayo kwa tukio kubwa kufanywa katika dimba la Taifa

Miongoni mwa matukio yatakayojiri siku hiyo ni kutambulisha wachezaji wapya, burudani ya muziki, kuzindua wimbo maalum wa Yanga na kutambulisha jezi za msimu mpya

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list