We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 4, 2019

“Kwa hapa Bongo kimpira Samatta hawezi kuwafikia Haruna Moshi na Ajib, Ila ni kujitambua tu” – JULIO

Beki kisiki wa zamani wa klabu ya Simba, Jamhuri Kihwelo (Julio) ameoneshwa kukuna na usajili wa Ibrahim Ajib wa kurudi kunako Wekundu hao wa Msimbazi kwa kumwagia sifa kuwa ni moja ya wachezaji wenye uwezo mkubwa Tanzania.



Julio amesema kuwa kwa mchezaji kama Ajib na Haruna Moshi ni moja ya wachezaji wenye uwezo mkubwa hapa Tanzania, Pengina kuliko hata Samatta ila ni kujitambua tu ndio kuna mfanya Samatta aonekani ana kipaji kuwazidi wachezaji hao.
Nikwambie tu kwa hapa Bongo hakuna wachezaji wenye vipaji kama Haruna Moshi na Ajibu. Hata Samatta hana kipaji kikubwa kama Ajib ila sema anajitambua.“Amesema Julio kwenye mahojiano yake na gazeti la Habari Leo.
Kwa upande mwingine, Julio amemtabiria makubwa Ajib ndani ya klabu yake mpya ya Simba SC, Na kumshauri aache uvivu kwenye mazoezi kwani bado anauwezo mkubwa wa kufikia ndoto zake.
Ajib alijiunga na Yanga SC misimu miwili iliyopita akitokea Klabu ya Simba na baadae kurejea tena Msimbazi. Msimu uliopita Ajib amehusika kwenye magoli 25 huku akimaliza msimu kwa kufunga magoli 6 nyavuni.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list