We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 25, 2019

Kocha wa Simba ataka mabadiliko ya lazima

Kuelekea msimu wa soka wa 2019/20, Kocha Mkuu wa Simba Patrick Aussems, amesema wachezaji wake wanatakiwa kuwa na uwezo wa kucheza zaidi ya nafasi moja uwanjani.

Aussems ameyasema hayo kwenye kambi ya Simba waliyoweka huko Rustenburg Afrika Kusini, ambapo yupo na timu kwaajili ya maandalizi ya msimu huu.
“Kwasasa nataka kuona wachezaji wakicheza nafasi zaidi ya moja sababu huu msimu nataka kuwa na mifumo miwili au mitatu”- amesema Aussems.
Aussems alianza majaribio ya jambo hilo kwa wachezaji wake katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Platinum Stars, ambapo wachezaji walicheza zaidi ya nafasi moja na Simba kushinda magoli 4-1.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list