We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, July 12, 2019

Kampuni ya GSM kusimamia uuzwaji wa Jezi za Yanga

Uongozi wa Yanga umetangaza kuwa kampuni ya GSM imeshinda tenda ya usambazaji wa vifaa vya timu ya Yanga ikiwemo usambazaji wa jezi

Mwezi uliopita Yanga ilitangaza tenda ya kusaka Mawakala wa kusimamia uuzaji wa jezi pamoja na vifaa mbalimbali

Ushirikiano ya GSM na Yanga utaendelea kuimarika baada ya kushinda zabuni hiyo
GSM iliichangia Yanga Tsh Milioni 300 kwenye Harambee ya Kubwa Kuliko iliyofanyika mwezi uliopita jijini Dar es salaam

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list