We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, July 26, 2019

JAFO AMWAMBIA MWANRI " MZEE HAPA HAUHAMISHWI"

Waziri ofisi ya rais Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa TAMISEMI Seleman Jaffo amewataka watumishi wliochhini ya wizara kuongeza juhudi katika utendaji kazi huku akisifu kuwa katika wizara tatu zinazofanyakazi katika awamu hii mojawapo ni TAMISEMI "Rais alivyokuwa akihutubia bunge aliitaja TAMISEMI ni wizara inayokithiri katika uzembe kwa miradi isiyokamilika lakini leo naomba niwaambie katika wizara tatu TAMISEMI imo" waziri Jaffo

Bonyeza play hapa chini kutazama zaidi pia tembelea app hii kila Mara kusoma habari MPYA

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list