We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, July 26, 2019

Haji Manara ajitosa kwenye uigizaji


Msemaji wa klabu ya Simba nchini Tanzania, Haji Manara amejitosa kwenye tasnia ya filamu huku akieleza mkataba wake Simba haumfungi kufanya hivyo.

Manara ameonekana wiki hii akiwa na wasanii mbalimbali wa Bongo Movie visiwani Zanzibar jambo lililoisukuma Mwananchi kutaka kujua sababu.
Akizungumza na Mwananchi leo Ijumaa Julai 26,2019, Manara ambaye amekuwa msemaji wa Simba ambao ni mabingwa wa ligi kuu ya Tanzania 2018/19 kwa miaka zaidi ya minne sasa, amesema yupo  visiwani  huko wakipika filamu.
“Niliombwa na mtandao wa Swahiliflix ambao utaanza kusambaza kazi za filamu za bongo hivi karibuni kutengeneza maudhui kwa kuniona nafaa, ndio maana mmeniona niko huku Zanzibar tukilikamilisha hilo,” amesema
Alipoulizwa kama mkataba wake Simba haumnyimi kufanya hayo, anesema kufanya kwake kazi Simba hakumzuii kufanya mambo mengine.



No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list