We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, July 8, 2019

Gharama za usajili mwaka huu kuzidi Bila 1.3

Uongozi wa Simba bado haujamaliza michakato ya usajili ambapo inaelezwa zoezi liko kwenye hatua za mwisho
Mpaka sasa Simba tayari imetumia zaidi ya Bilioni 1.3 kusajili nyota wapya na kuwaongezea mikataba wengine
Ni dhahiri Simba itavuka kiwango kilichotumiwa kusajili msimu uliopita ambapo Bilioni 1.3 zilitumika
Mtendaji Mkuu wa Simba Crescentius Magori amesema baada ya kukamilisha zoezi la usajili,  wataweka hadharani kiasi cha fedha zilizotumika
Simba ilitenga bajeti ya Bilioni 2.6 kwa ajili ya usajili

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list