Beki wa Simba Paul Bukaba amesajiliwa na klabu ya Namungo Fc kwa mkopo wa mwaka mmoja
Bukaba ameungana na kiungo Mohammed Ibrahim 'Mo' ambaye pia amesajiliwa na timu hiyo kwa mkopo wa msimu mmoja
Nyota hao wawili, ni kati ya wachezaji watano waliotolewa kwa mkopo na klabu ya Simba kwenda timu nyingine
Wengine ni Adam Salamba, Mohammed Rashid na Marcel Kaheza

No comments:
Post a Comment