We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, July 3, 2019

BREAKING: Ajib asaini miaka miwili Simba

Hatimaye leo mtoto katambulishwa nyumbani!
Ndio uongozi wa Simba leo umemtambulisha rasmi kiungo Ibrahim Ajib baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuwatumikia mabingwa wa nchi
Usajili wa Ajib ulikuwa ukisubiri kutambulishwa tu kwani ulikuwa umekamilika kwa muda mrefu
Fundi huyo wa mpira sasa amerejea Msimbazi kuungana na mafundi wengine kina Chama, Mkude huku fundi (Kahata) akisubiriwa kwa hamu


No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list