We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, July 4, 2019

Arjen Robben atangaza kustaafu kucheza soka

Winga wa zamani wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Uholanzi Arjen Robben, ametangaza kustaafu kusakata kabumbu.

Robben mwenye miaka 35 ambaye aliwahi kuvichezea vilabu vya Chelsea na Real Madrid kwa nyakati tofauti ameweza kwa ujumla kucheza michezo 606 na kufunga magoli 210 katika kipindi chake cha uchezaji kwa miaka 19 ya soka.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list