We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, June 27, 2019

Niyonzima athibitisha kuondoka Simba

Kiungo Haruna Niyonzima amethibitisha kuwa hatakuwa sehemu ya kikosi cha Simba kwa ajili ya msimu ujao
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Niyonzima amewashukuru mashabiki wa Simba kwa ushirikiano waliompa wakati wote
Aidha amesema wakati ukifika ataweka hadharani klabu atakayojiunga nayo
"Nashukuru kwa kumbukumbu nzuri tuliyotengeneza tukiwa sote. Wakati ukifika nitaweka hadharani ninapoelekea..," ameandika Niyonzima
Mnyarwanda huyo ni miongoni mwa wachezaji ambao hawakupendekezwa kuongezewa mikataba na kocha Patrick Aussems

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list