Klabu ya Liverpool imemsajili beki Sepp van den Berg menye miaka 17 kutoka ligi ya Eredivisie kwenye klabu ya PEC Zwolle.
Van den Berg atakamilisha usajili huo Julai 1, ambapo Liverpool italipa kiasi cha awali cha £1.3m.
Ada ya mchezaji huyo wa Uholanzi itaongezeka kufikia £4m, kutegemea na idadi ya mechi za Ligi kuu na Ulaya atakazo cheza kwa mabingwa hao wa Ligi ya mabingwa Ulaya.
Van den Berg atakamilisha usajili huo Julai 1, ambapo Liverpool italipa kiasi cha awali cha £1.3m.
Ada ya mchezaji huyo wa Uholanzi itaongezeka kufikia £4m, kutegemea na idadi ya mechi za Ligi kuu na Ulaya atakazo cheza kwa mabingwa hao wa Ligi ya mabingwa Ulaya.
No comments:
Post a Comment