We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, June 27, 2019

BREAKING: Kapombe aongeza miaka miwili Simba

Beki bora nchini upande wa kulia Shomari Kapombe amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuwatumikia mabingwa wa Tanzania Bara Simba
Kapombe ambaye alikosa sehemu kubwa ya msimu uliopita kutokana na majeruhi, amepona majeraha hayo ambapo uongozi wa Simba umethibitisha kuwa, atakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kitakachokwenda kuweka kambi nje ya nchi
"Beki bora wa kulia nchini Shomari Kapombe amesaini mkataba mpya wa miaka miwili ambao utamwezesha kuendelea kuwa sehemu ya kikosi cha Mabingwa. Shomari kwa sasa yupo fiti kucheza na atakuwa sehemu kikosi ambacho kitaenda nje ya nchi kujiandaa na msimu mpya," imesema taarifa ya Simba Sc

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list