We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, May 30, 2019

YANGA YAENDELEA KUKISUKA KIKOSI CHAKE YAWASIJILI HAWA

Uongozi wa klabu ya Yanga umewataka mashabiki wa timu hiyo wasiwe na wasiwasi kwani mchakato wa kukisuka upya kikosi chao unaendelea
Yanga tayari imekamilisha usajili wa wachezaji wawili wa kigeni Patrick Sibomana na Issa Bigirimana waliosaini mikataba jana mbele ya Makamu Mwenyekiti Fredrick Mwakalebela
Yanga itaendelea kuwapa mkikataba wachezaji wapya ambao wamemalizana na kocha Mwinyi Zahera aliyeondoka kuelekea DR Congo kujiunga na kambi ya timu ya Taifa
Wachezaji saba wa kigeni wanatarajiwa kusajiliwa wiki hii huku wengine wanne wazawa nao wakisubiri kupewa mikataba

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list