We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, May 2, 2019

Uchochezi: Bob Wine aviponza vituo 7 vya redio Uganda


Kamisheni ya Mawasiliano nchini Uganda UCC imetoa agizo la kusimamishwa kazi mara moja kwa waandishi na watayarishaji 39 wa vipindi vya televisheni, wakuu wa vipindi pamoja na wakuu wa vitengo vya habari chini humo wanofanya kazi kwenye vituo sita binafsi vya televisheni.

Sambamba na hilo vituo saba vya redio vimechukuliwa hatua dhidi ya urushaji wa maudhui ya kichochezi.

Japokuwa kamisheni hiyo haikuweka wazi sababu za kutaka hatua hizo zichukuliwe, Imebainika kwamba sababu kuu ni urushaji wa matangazo ya kuzuiwa na kukamatwa kwa wafuasi wa upinzani akiwamo Mbunge Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine. 

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list