We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, May 30, 2019

Sonso asaini miaka miwili Yanga

Mlinzi wa Lipuli Fc Ally Sonso inaelezwa nae amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Yanga
Yanga ilianza kumuwania beki huyo tangu wakati wa dirisha dogo la usajili mwezi Disemba 2018
Anakuwa mchezaji wa pili kusajiliwa na Yanga mongoni mwa wachezaji wa ndani ambapo kocha Mwinyi Zahera alisema atasajili wachezaji wanne wazawa

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list