We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, May 30, 2019

Mama mzazi wa Isha Mashauzi kuzikwa leo

Mmiliki na mwanamuziki wa kundi la Mashauzi Classic, Aisha Ramadhani maarufu ‘Isha Mashauzi’ amepata pigo baada ya kumpoteza mama yake mzazi, Bi Rukia Juma aliyefariki dunia jana Mei 29, 2019, ambapo anatarajia kuzikwa leo katika makaburi ya Mbezi kwa Msuguri. 

Kwa mujibu wa ndugu wa karibu na familia hiyo Said Mdoe, amsema Bi Rukia atazikwa leo saa 10:00 jioni katika Makaburi ya Mbezi kwa Msuguri ambako ndio msiba ulipo. 
"Mwili utapelekwa msikitini na kutolewa baada ya ibada na kurejeshwa nyumbani tayari kwaajili ya kuelekea makaburini kwaajili ya kumpuzisha katika makazi yake ya milele", amesema Mdoe.
Bi Rukia Juma pia alikuwa mwimbaji wa taarabu katika bendi ya Mashauzi Classsic na TOT Taarab. Hili ni pigo kwa mwanamuziki Isha ambaye miaka minne iliyopita alimpoteza baba yake mzazi, Ramadhani Makongo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list