We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, May 29, 2019

Maelfu wajitokeza kuipokea Simba Kibaha

Mabingwa wa soka Tanzania Bara Simba wamewasili salama wilayani Kibaha na kupokelewa na idadi kubwa ya mashabiki wa timu hiyo
Baada ya Simba kuwasili, Kibaha ilizizima kwa shangwe na furaha ya mashabiki waliojitokeza kufurahia ubingwa wa ligi kuu ya Tanzania ambao Simba walikabidhiwa mkoani Morogoro jana
Simba iko njiani kurejea jijini Dar es salaam ambapo shangwe kubwa zaidi itarindima mtaa wa Msimbazi, yalipo Makao Makuu ya timu hiyo





No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list