We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, May 29, 2019

Kagera Sugar yabakishwa ligi kuu, Stand United yashuka daraja

Bodi ya ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imekiri kuwepo kwa mkanganyiko wa takwimu uliopelekea Kagera Sugar kuwekwa kimakosa katika nafasi ya 19 ya msimamo wa ligi na hivyo kushushwa daraja pamoja na African Lyon
Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Boniface Wambura amesema wamesahihisha makosa hayo na watamuwajibisha aliyesababisha upotoshaji wa takwimu hizo
Sasa ni rasmi Stand United ndio itakayoshuka daraja pamoja na African Lyon wakati Kagera Sugar itacheza mchezo wa mtoano dhidi ya Pamba Fc na Mwadui Fc itachuana na Geita Gold kusaka nafasi ya kubakia ligi kuu au kupanda daraja kwa timu za daraja la kwanza

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list