We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, May 29, 2019

Apandishwa kizimbani kwa kumbaka mtoto wake


Said Rashid(36), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kwa tuhuma za kutenda kosa hilo. 

Mshtakiwa anatuhumiwa kutenda kosa hilo mnamo mwaka 2016 na Aprili 2019 huko nyumbani kwake eneo la Mbezi Juu. 

Hata hivyo mshtakiwa amekana kosa hilo na kurudishwa rumande kwa kushindwa kukidhi masharti ya dhamana(alitakiwa kuwa na mdhamini mmoja atakayesaini bondi ya Tsh. Milioni 1). 

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Juni 10 kesi hiyo itakapotajwa tena kutokana na kutokamilika kwa upelelezi.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list