We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, March 24, 2019

Zitto Kabwe ampongeza Bondia Mwakinyo kwa ushindi wake


Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amepongeza Bondia Mtanzania, Hassan Mwakinyo kwa ushindi alioupata jana.

Usiku wa kuamkia leo bondia huyo akiyenza kuwa maarufu zaidi nchini ameshinda pambano lake dhidi Sergio Gonzalez raia wa Argentina.

"Pongezi nyingi kwa Bondia Mtanzania Mwakinyo kwa ushindi wako. Umetupa faraja na furaha Watanzania. Mungu akupe Neema zaidi na uwapige zaidi," amesema Zitto.

Mwakinyo amemchapa Gonzalez kwa TKO katika raundi ya tano ya pambano hilo lililofanyika jijini Nairobi Nchini Kenya.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list