We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, March 27, 2019

Zahera atua, kuiongoza Yanga dhidi ya Alliance Fc


Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera amewasili usiku wa kuamkia leo Jumatano kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na ataungana na kikosi cha Yanga kinachoondoka kesho kuelekea jijini Mwanza


Zahera alikuwa DR Congo kutimiza majukumu ya timu ya Taifa ambapo wamefanikiwa kukata tiketi ya kutinga fainali za AFCON 2019 kama ilivyo kwa Tanzania

Yanga inatarajiwa 'kukwea pipa' kesho Alhamisi kuelekea Mwanza tayari kwa mchezo wa robo fainali kombe la Azam (ASFC) dhidi ya Alliance Fc
Mchezo huo utapigwa katika uwanja wa CCM Kirumba, Jumamosi, March 30 2019

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list