We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, March 4, 2019

Waziri Mpya wa Mambo ya Nje Profesa Palamagamba Kabudi Aanza Kazi Kwa Kumtaka Katibu Mkuu Wizara Hiyo Kufanya Mabadiliko Haraka

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi ameanza kazi rasmi kwa kumtaka Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuanza mabadiliko wizarani hapo.

Profesa Kabudi ambaye hata hivyo hakusema ni mabadiliko ya aina gani yanahitajika wizarani hapo, amesema hayo leo Jumatatu Februari 4, Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kuapa kuwa waziri wa wizara hiyo baada ya kuteuliwa na Rais John Magufuli, juzi.

“Lazima tubadilike na tutambue mabadiliko haya ni sisi wenyewe ndani ya wizara na ni  mabadiliko ya haraka, huo ndiyo ujumbe wangu na ahadi yangu kwa watu wote,” amesema.

Pamoja na Profesa Kabudi, pia Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Augustine Mahiga aliapishwa na baadhi ya Makamishna wa Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list