We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, March 23, 2019

VIDEO: Katibu Mkuu CCM acharuka bendera za CUF kuchomwa moto

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM, Dk. Bashiru Alli amesema kuna baadhi ya wanachama wa vyama fulani wameanza kuchoma bendera za vyama kitu ambacho hakikubaliki kisheria na ni kosa la jinai hivyo CCM itaiagiza Serikali kusimamia jambo hilo.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI


No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list