We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, March 27, 2019

Uchaguzi Yanga kufanyika April 28 2019


Baraza la Wadhamini la klabu ya Yanga kupitia kwa Mwenyekiti Mh George Mkuchika limetangaza tarehe ya kufanyika kwa uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo kuwa ni April 28 2019


Akitangaza mapendekezo hayo, Mh Mkuchika amesema uchaguzi huo utasimamiwa na Wanayanga wenyewe, Shirikisho la soka nchini (TFF) litatuma waangalizi tu

Aidha wakati wa kipindi hiki cha mpito, kutakuwa na Kamati Maalum ya kuisimamia timu huku Kamati nyingine ikiundwa kwa ajili ya kusimamia mchakato wa uchaguzi

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list